Skip to main content
Skip to main content

Usajili wa wapiga kura katika kaunti ya Kajiado

  • | Citizen TV
    181 views
    Duration: 1:57
    Huku tume huru ya uchaguzi na mipaka ikianza rasmi zoezi la kuwasajili wapiga kura wapya million 6.3 kote nchini, vijana wamehimizwa kutumia fursa hiyo kujisajili kama wapiga kura ili wawe na sauti kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027.