Shambulizi la Wahouthi lasababisha vifo vya watu kadhaa
Jeshi la Marekani limesema Shambulizi la kombora lililofanywa na Wahouthi kwenye meli ya biashara ya bahari ya sham jumatano limesabaabisha vifo vya watu kadhaa.
Waasi wa Kihouthi wa Yemen wamedai kuhusika na shambulizi hilo, wakati msemaji wa jeshi amethibitsh ahilo kwenye maelezo yake kwenye televisheni.
Shambulizi hilo limesababisha moto katika meli inayomilikiwa na Ugiriki yenye bendera ya Barbados ya True confidence karibu maili 50 kutoka pwani ya bandari ya Yemen huko Aden.
Haya ni matukio ya kwanza ya vifo kuripotiwa tangu wa- Houthi waanze mgomo dhidi ya usafiri wa meli katika mojawapo ya njia za baharini zenye shughuli nyingi zaidi duniani katikati ya Novemba.
Wamesema wanafanya kazi kwa mshikamano na wapalestina kupinga hatua za kijeshi za Israel huko Gaza.
Uingereza na Marekani zimekuwa zikifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya waasi wa Houthi na uthibitisho wa vifo unaweza kusababisha shinikizo kwa hatua kali za kijeshi.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
16 May 2024
- Kimani's father had earlier indicated that his son was suffering from bipolar disorder.
16 May 2024
- Earlier Passaris had praised President Ruto for his work ethic.
16 May 2024
- Ruto had noted that 250,000 would get employment in the German deal.
17 May 2024
- During an interview with Citizen TV on Thursday evening, Kimani emphasized the importance of adequately funding the constitutional office of the Deputy President so that it can carry out its mandate.
17 May 2024
- The Beyond Zero Initiative once again demonstrated its unwavering commitment to humanitarian aid by donating essential items to victims of the recent heavy rains and floods in Mathare, Nairobi County.
17 May 2024
- A budget estimate presented by the Controller of State House Katoo Ole Metito shows extravagance in government spending at a time when Kenyans are furious with the continued tax burden contained in the Finance Bill 2024.
17 May 2024
- Tax experts have expressed outrage over what they termed as retrogressive tax proposals contained in the Finance Bill 2024.
17 May 2024
- The U.N. aid chief warned on Thursday that famine was an immediate risk in Gaza with food stocks running out, describing fresh challenges since the start of the Israel's Rafah operation that made planning and distributing relief almost impossible.
16 May 2024
- South Africa asked the top U.N. court on Thursday to order a halt to the Rafah offensive as part of its case in The Hague accusing Israel of genocide, saying the country "must be stopped" to ensure the survival of the Palestinian people.
16 May 2024
- Two people died in the last 24 hours as a result of the ongoing floods, bringing the official nationwide death toll to 291, Government Spokesperson Isaac Mwaura has announced.
16 May 2024
- Police officers in Nakuru County have arrested a woman for operating an illegal counterfeit liquor business at Kenyatta Estate in Molo Sub-County.
16 May 2024
- Kirinyaga Governor Anne Waiguru has told off a section of Mt Kenya leaders over the oncoming event dubbed the Limuru III Conference which is slated for this Friday.
16 May 2024
- Some homes along the roads were destroyed as owners struggled to clean them up