Skip to main content
Skip to main content

Timu ya KCB yarejea kwenye ushindi baada ya kuichapa Kariobangi Sharks 1-0 kwenye ligi kuu

  • | Citizen TV
    244 views
    Duration: 1:28
    Timu ya kandanda ya KCB FC imerejea kwenye ushindi katika ligi kuu ya taifa ya kandanda baada ya kuwafunga Kariobangi Sharks bao 1-0 katika mechi pekee ya ligi jumatatu alasiri.