- 136 viewsWananchi wa Haiti katika mji mkuu wa Port-au-Prince wako mbiyoni kwa wiki nzima hivi sasa bila ya kujuwa wapi kwenda kutokana na mapigano kati ya magenge ya uhalifu na polisi. Ghasia hiso zilizuka wiki moja iliyopita na kuilazimisha serikali kutangaza hali ya dharura, na Marekani kuwaondowa raia wake kuanzia siku ya Jumapili. Hali katika nchi hiyo ya Caribean inaripotiwa kuwa mbaya sana na kuisababisha Jumuia ya kimataifa kueleza wasi wasi wake na kutoa wito wa kusitisha ghasia na kudumisha amani. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wahaiti waukimbia mji kutokana na mapigano kati ya polisi na magenge ya wahalifu
- - Floods aftermath ››
- » 'Swahili is a gold coin': Museveni says East Africa not like EU which doesn’t have a common language16 May 2024 - Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday challenged East Africans to utilise the shared Swahili language for economic prosperity.
- 16 May 2024 - France deployed troops to New Caledonia's ports and international airport, banned TikTok and imposed a state of emergency on Thursday after three nights of clashes that have left five dead and hundreds wounded.
- 16 May 2024 - Kenya has received 450,000 doses of self-injectable contraceptives in a bid to simplify and enhance the accessibility of family planning among sexually active women.
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Seychelles has endorsed its former Vice President Vincent Meriton to contest for the chairmanship position of the African Union C*mmission (AUC). In a […]
- 16 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has defended his office’s proposed allocation in the 2024/2025 financial year.
- 16 May 2024 - All the accused were admitted to a bond of Sh10m with one surety of the same amount each
- 16 May 2024 - Nairobi Woman Representative Esther Passaris has broken her silence on the controversial finance bill saying that she will still vote for it despite having some misgivings about some clauses in it.
- 16 May 2024 - President Yoweri Museveni wants the unification of the eight EAC states.
- 16 May 2024 - 75 Kenyans are still missing
- 16 May 2024 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has discredited Deputy President Rigathi Gachagua’s proposal of a ‘one-man-one-shilling’ county revenue-sharing formula.