Rais Paul Kagame akubali kukutana na Rais Felix Tshisekedi
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola tete Antonio amesema Jumatatu jioni kwamba Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na mwenzake wa Jamhiri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazungumzo kuhusu hali ya usalama mkashariki ya Congo.
Antonio alizungumza na waandishi habari baada ya Rais Kagame kukutana na mwenyeji wake Joao Lourenco katika ikulu Lunda kwa mazungumzo juu ya ushirikiano kati ya nchi zao mbili.
Wakati wa mkutano huo walikubaliana kwamba Rais Kagame ataweza kukutana na Rais Tshisekedi katika wakati utakaofikiwa na wapatanishi," amesema Antonio
Ofisi ya rais wa Rwanda kwenye ujumbe wake katika ukurasa wake wa X imeeleza kwamba wakuu hao wamekubali juu ya hatua muhimu kuelekea kutanzua sababu msingi wa ugomvi na haja ya kuheshimu utaratibu wa makubaliano ya Luanda na Nairobi wa kupatikana Amani na utulivu katika kanda nzima.
"Ujumbe wa Rwanda ulikubali kimsingi na ujumbe wa Congo kwamba mawaziri wao watafanya kazi pamoja ili kufikia lengo hilo," amesema Antonio.
Mwishoni mwa mwezi Februari, Antonio anasema Rais Tshisekedi kimsingi ameshakubali kukutana na mwezake wa Rwanda. Mara ya mwisho viongozi hao kukutana ilikua Februari 16 kando ya mkutano wa
viongozi wa Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa wakati wa mkutano mdogo wa kilele ulotayarishwa na Rais Lourenco. - AFP
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #luanda #angola #mpatanishi #raiswaangola #teteAntonio #felixtshisekedi #paulkagame #rwanda
14 May 2024
- "The Red Cross Action Team is en route to the scene," Red Cross announced.
14 May 2024
- In his speech, Ruto expressed confidence in the two appointees.
14 May 2024
- The woman claimed that she recently received threats from the soldier.
15 May 2024
- Under the drive, each student is supposed to plant three trees by Friday
15 May 2024
- Senate committee wants the health facility reverted to university a move opposed by the National Assembly
15 May 2024
- Opposition side has tabled acts of omission and commission they believe are reason enough to send CS packing
15 May 2024
- Their strike began April 1, but the government has never met their leaders for any negotiations
15 May 2024
- Who does what and where
15 May 2024
- Says a gut feeling that something was about to happen, kept him half awake.
15 May 2024
- Opposition MPs demand thorough probe on the bribery allegations, a day after Parliament cleared CS Linturi.
15 May 2024
- Reading Time: 3 minutes The government is planning to form a task force to look into perennial challenges facing the health sector, days after […]
15 May 2024
- Reading Time: 3 minutes A section of lawmakers now want thorough investigations into claims that money changed hands with a view to exonerate Agriculture […]
15 May 2024
- Reading Time: 4 minutes Learners are staring at a cri**s after the National Treasury slashed monies meant for Junior Secondary School (JSS) and school […]