- 88 viewsNchi za Afrika Magharibi zinashinikiza kujengwa kwa mtandao wa barabara kuu zinazounganisha nchi tano kutoka Ivory Coast hadi Nigeria. Benki ya Maendeleo ya Afrika inasema mradi huo utakuwa ni kichocheo cha uchumi kwa nchi zote husika. Senanu Tord anaripoti kutoka Accra, Ghana. Nii Annan Ofori ni kiongozi wa kijadi na msimamizi wa ardhi katika eneo la kitamaduni la Ga East nje kidogo ya mji mkuu wa Ghana, Accra. Jamii yake imechaguliwa kunufaika na sehemu ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 1028 inayoanzia Abidjan hadi Lagos. Barabara ya chini ya ardhi yenye urefu wa kilomita tatu itapita katika eneo la jamii hii. Mpango huu unaangazia siku za usoni kuiunganisha barabara hii na nchi nyingine, ili kuwa na mtandao mpana katika bara hilo lenye barabara kuu 9 zinazoanzia Cairo hadi Cape Town na kutoka Dakar hadi Djibouti. Hatua ijayo, kulingana na Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ni kuiunganisha Dakar hadi eneo la Abidjan na Lagos. - VOA Senanu Tord, VOA News, Accra Ghana #SenanuTord, #VOANews, #Accra #Ghana #afrikamagharibi #ADB #niiannanofori #kiongozi #jadi
Mpango wa Barabara Kuu Utaunganisha nchi 5 Afrika
- - Mzee aishi Pangoni ››
- 12 Aug 2025 - Douglas Kamau says he narrowly escaped death when a bullet struck his arm and ribs, allegedly fired by a police officer from Makutano Police Station.
- 12 Aug 2025 - Naivasha Senior Resident Magistrate Wilson Rading on Monday recused himself from hearing the case against 73-year-old farmer Francis Muya, who is accused of plotting to kill five members of his family.
- 12 Aug 2025 - While Chirchir is of the opinion that road crashes are “preventable if all road users play their part” the Motorists Association of Kenya (MAK) has placed blame on government agencies.
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has 9 governors on its radar over corruption cases as it intensifies its crackdown on nationwide graft.
- 12 Aug 2025 - Prosecutors in the Ivory Coast said Monday they have charged 11 people, including members of the opposition party of ex-president Laurent Gbagbo, with alleged "terrorist" offences linked to unrest earlier this month.
- 12 Aug 2025 - Authorities in Taiwan were scrambling on Tuesday to evacuate hundreds ahead of a possible landfall by Typhoon Podul on the island's southeastern coast, while nearby areas battle to recover from floods and record winds brought by previous storms.
- 12 Aug 2025 - Hundreds of cabin crew members took their fight to major Canadian airports on Monday, picketing against unpaid labor, as talks on wages intensify between Air Canada AC.TO and its flight attendants this week ahead of a possible strike.
- 12 Aug 2025 - The new taxes will impact prices of goods and services.
- 12 Aug 2025 - Nearly 50 Kenyans have lost their lives in road accidents in the last two weeks.
- 12 Aug 2025 - The man walked into his second wife's home and never left.