- 808 viewsDuration: 2:35Haya yajikiri, chama cha wahasibu nchini - ICPAK- sasa kinataka uchunguzi huru kuhusu sakata ya ajira katika mamlaka ya afya ya SHA. Hii ni kufuatia kuripotiwa kuwa Andrew Rotich, aliyefichua ulaghai wa mabilioni ya pesa, alitupwa nje ya orodha ya walioteuliwa upya kwa ajira. Rotich, ambaye awali alikuwa naibu mkurugenzi wa ukaguzi katika SHA, anaripotiwa kupoteza kazi baada ya kufichua sakata hiyo