Skip to main content
Skip to main content

Wauguzi wanaogoma Siaya waapa kuendelea na mgomo

  • | KBC Video
    42 views
    Duration: 3:19
    Chama cha wauguzi cha KNUN kimekashifu shambulizi dhidi ya wauguzi wanaogoma katika kaunti ya Siaya, kikidai serikali ya kaunti hiyo ilitumia wahuni kuwatishia wafanyikazi hao wanaogoma. Katibu mkuu wa chama hicho, Seth Panyako, amesema wauguzi hao hawatayumbishwa na vitisho, akionya kwamba matakwa yao sharti yatimizwe na serikali ya kaunti ya Siaya kabla ya kurejea kazini. Maafisa wa KNUN, tawi la Siaya wamesema wauguzi 20 walijeruhiwa wakati wa vurugu hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive