Skip to main content
Skip to main content

Usajili wa wapiga kura waendelea huku idadi ya watu ikididimia

  • | Citizen TV
    316 views
    Duration: 2:27
    Idadi ndogo ya watu bado imenakiliwa katika shughuli ya usajili wa wapiga kura, iliyoingia siku ya tatu hii leo. Kaunti ya Nyeri ikisema kuwa imesajili watu sitini pekee kufikia sasa, vituo vingine vikiwa na usajili wa chini ya watu kumi kwa kila siku.