Skip to main content
Skip to main content

Mipango ya mazishi ya watu 14 waliofariki kwenye ajali ya barabarani Kikopey yaanza

  • | Citizen TV
    1,883 views
    Duration: 2:57
    Familia ya watu 14 walioangamia kwenye ajali ya barabarani jumapili iliyopita imeanza mipango ya mazishi, huku serikali ikiahidi kuwapiga jeki. Mkewe rais, Mama Racheal Ruto aliwaongoza viongozi kuifariji familia hii katika kaunti ya murang'a huku wizara ya afya ikijiandaa kutuma washauri nasaha kuwasaidia walioathirika na mkasa huo