Skip to main content
Skip to main content

Wenye baa wapinga mswada uliopendekezwa wa kudhibiti tumbaku

  • | KBC Video
    68 views
    Duration: 2:11
    Chama cha wamiliki wa mabaa, hoteli na maduka ya kuuza vileo pamoja na kile cha wauzaji rejareja wamewasilisha ombi kwenye bunge la seneti ili kusitisha mjadala kuhusiana na mswada wa marekebisho ya sheria ya kudhibiti tumbaku wa mwaka 2024. Vyama vyote viwili vinadai kuwa mswada huo uliwasilishwa kwenye bunge hilo bila ushirikishwaji ufaao wa umma, na mapendekezo yake iwapo yatakubaliwa yataibua biashara haramu badala ya kupunguza vifo pamoja na madhara yanayosababishwa na matumizi ya sigara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive