- 3,573 views
Aliyekuwa gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria anasakwa na maafisa wa kupambana na ufisadi nchini EACC kwa tuhuma za ufisadi wa shilingi milioni 140 alipokuwa ofisini. Wa Iria aliponea kukamatwa kwenye hafla aliyopaswa kuhudhuria eneo la Magharibi ya Kenya. Wa Iria anasakwa pamoja na wengine saba kufuatia kufuatia idhini ya kufunguliwa kwake mashtaka na ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma. Tuhuma hizi zinahusiana na ununuzi uliofanywa kati ya mwaka 2015 na 2016. Viongozi wa Azimio waliokuwa kwenye hafla ambayo wa Iria alipaniwa kuhudhuria walilaumu kile wanasema ni serikali kuwahangaisha viongozi wa upinzani
Aliyekuwa gavana wa Murang’a Mwangi Wa Iria asakwa na maafisa wa EACC
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3