Skip to main content
Skip to main content

Wakulima washauriwa kukuza mboga za kienyeji Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    636 views
    Duration: 3:16
    Wakulima wamehimizwa kuongeza uzalishaji wa mboga za kienyeji ili kunufaika na fursa kubwa ya kibiashara katika shule na taasisi mbalimbali. Mradi wa kilimo cha mboga za kienyeji unaoendelezwa na Idara ya Makavazi ya Kitaifa unalenga kuhamasisha jamii kuhusu thamani ya mboga hizi zenye lishe bora na manufaa ya kiuchumi.