- 283 viewsMwanamke wa Kipalestina aliyejitambulisha kwa jina moja Maryam ambaye ndugu yake aliuawa anaeleza huzuni yake kufuatia shambulizi la mabomu. Sikiliza anachosema Watu wote wanaoishi jirani waliondoka, lakini yeye hakuweza kuondoka. Hawakutegemea hili. Hawana kitu chochote, walikuwa salama. Walikuwa hawana kitu. Lilimuangukia na kuwaangukia watoto wake, watoto hawa wamefanya nini kustahili kuwasibu hili? Hawakufanya kitu. Wacha nchi za Kiarabu waone na Israel ione hilo, wacha Marekani iwe na furaha, pia nchi zilizobakia duniani, wakati sisi tunaishi katika vita hivi, njaa na kupigwa mabomu. Amefanya nini kustahili kupatwa na hili? Alikuwa amelala na watoto wake kwa amani, nini watoto hawa wamefanya kustahili kupatwa na hili? Ni kitendo cha aibu wanachofanya.” #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili
Wanawake wa Kipalestina wakilia pembeni ya miili ya wapendwa wao
- 11 Aug 2025 - Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
- 11 Aug 2025 - The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
- 11 Aug 2025 - The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
- 11 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has reiterated that Democracy for Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua must honor the order to record a statement over his remarks on terrorism while in the United States.
- 11 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
- » Bella Comedy: Viral assault on Kalenjin female comedian sparks outrage, calls for arrest of perpetrator11 Aug 2025 - A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
- 11 Aug 2025 - The notice had authorized the duty-free importation of Grade 1 milled white rice to cushion consumers from an anticipated shortage.
- 11 Aug 2025 - The President announced a new cash incentive for Stars in upcoming matches.
- 11 Aug 2025 - The hospital said the suspension followed requests from insurance partners.
- 11 Aug 2025 - Youth lead adoption, with over 80 per cent of 18-34-year-olds owning a phone, yet low income, poor electricity access, and limited education remain barriers.