- 547 viewsKanda ya video ikionyesha miili ya Wapalestina waliouawa katika shambulizi la anga la Israel. Ndugu na jamaa wamekusanyika katika Hospitali ya AL-Aqsa Martyrs wakijadili kuhusu shambulizi hilo. Mpalestina, Mohammed Rayyan, ambaye ndugu yake aliuawa anaeleza huzuni na simanzi zake: "Watu walikuwa wamelala katika nyumba zao – watoto, mauaji. Je, hizi ni haki za binadamu wavamizi wanazo zizungumzia? Watoto. Je, huu ndio ubinadamu wanaounadii? Watoto wasiokuwa na hatia; ndege wa peponi. Mvulana huyu ni mtoto pekee kwa baba yake. Kwa baba na mama yake. Mama yake huyu hapa, ameuawa shahidi. Na huyu hapa, tunaamini ni shahidi mbele ya Mungu Mtukufu. Hatuna cha kusema lakini kumshukuru Mungu.” Tangu Hamas ilipofanya shambulizi Oktoba 7, mashambulizi ya Israel huko Gaza yameuwa zaidi ya Wapalestina 35,000, kulingana na maafisa wa afya wa Gaza. Hamas inayoongozwa na watu wenye silaha imeua takriban watu 1,200 na kuwateka watu 253 katika uvamizi wa Oktoba 7 waliofanya ndani ya Israel, kulingana na hesabu iliyojumlishwa na Israel. - Reuters #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #helikopta #shambulizi #unrwa #un
'Watu walikuwa wamelala katika nyumba zao -- watoto, mauaji...'
- 11 Aug 2025 - The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
- 11 Aug 2025 - The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
- 11 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has reiterated that Democracy for Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua must honor the order to record a statement over his remarks on terrorism while in the United States.
- 11 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
- » Bella Comedy: Viral assault on Kalenjin female comedian sparks outrage, calls for arrest of perpetrator11 Aug 2025 - A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
- 11 Aug 2025 - The tortoises grow up to 18cm.
- 11 Aug 2025 - What respondents said in a survey.
- 11 Aug 2025 - Twice a week -- on Mondays and Fridays -- a dedicated team of 10 youth patrol a three-km stretch of Coco Beach, collecting up to 400 kg of waste.
- 11 Aug 2025 - Rice is one of the foods Kenyans consume in large quantities every year.
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.