Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?
Hapana.
Kazi iko wazi kwa wale wana sifa zilizotajwa katika Katiba ya Marekani.
Mahitaji:
Awe na Umri wa miaka 35
Awe ameishi ndani ya Marekani kwa miaka 14.
Awe raia mzaliwa wa Marekani.
Wasisi wa taifa walikuwa na matumaini umri huenda ukaleta busara na ukomavu.
Wakati Katiba ilipokuwa inapitishwa umri wa kuishi ulikuwa chini ya miaka 40
Ukazi na uraia:
Mahitaji haya yalikuwa na azma ya kukatisha ushawishi wa nje.
Wataalamu wa kisheria wanaamini uraia wa kuzaliwa unahusu mtu aliyezaliwa nchini Marekani au aliyezaliwa na wazazi ambao ni Wamarekani.
Lakini Mahakama ya Juu Marekani haijawahi kutoa maamuzi rasmi kuhusu ufafanuzi wa suala hili.
#uchaguzi #marekani #upigajikura #mhamiaji #greencard #raia #ukaaziwakudumu #voa #voaswahili #sifa #kugombea #nafasiyaurais #sifa #wazazi #kuzaliwa
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.
15 May 2025
- If passed into law, the Bill would also greatly affect the Kenyan shilling.
15 May 2025
- The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
15 May 2025
- Gospel artist Alex Nyachonga Apoko, popularly known as Ringtone, was on Thursday arraigned at the Milimani Law Courts alongside co-accused Alfred Juma Ayora over allegations of defrauding a businesswoman of a parcel of land worth Ksh.50 million.
15 May 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on those opposing the leasing of four State-owned sugar factories to private millers to embrace the move to allow farmers to receive their benefits.
15 May 2025
- The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) found that Kenya Police officers’ population fell from 92, 350 in 2023 to 88, 483 officers in 2024.
15 May 2025
- Principal Prosecution Counsel Bernard Owour informed the court that the two allegedly murdered Gaala Adan, a refugee girl aged 17, on March 22, 2025 at Lolkuta South Sub-location, Wara Location, Hadado Sub-County, within Wajir County.
15 May 2025
- Residents of Gathigiriri village in Kirinyaga County have protested over the death of a middle aged man, accusing Nyumba Kumi elders in the village of beating him to death.
15 May 2025
- The former Police boss was known for his hard stance against crime.
15 May 2025
- PS Omollo expressed satisfaction with the progress made so far
15 May 2025
- Globally, breast cancer is the most common cancer in women.
15 May 2025
- Kindiki claims that the government will weed out 'stubborn' heads of institutions.