Skip to main content
Skip to main content

Serikali inalenga kupanda miti milioni 100 katika shule za msingi kuadhimisha siku ya Mazingira

  • | KBC Video
    134 views
    Duration: 3:26
    Kenya imepanda zaidi ya miche bilioni 1.06 tangu kuzinduliwa kwa mpango wa kupanda miti bilioni 15 ifikapo mwaka 2032, uliotangazwa mwezi Desemba mwaka 2022.Waziri wa Mazingira, Dkt. Deborah Barasa, amesema kuwa serikali inalenga kupanda miche milioni 100 ya miti katika shule za msingi kote nchini wakati wa maadhimisho ya siku ya Mazingira Ijumaa ijayo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive