- 12 views
Wadau wa tasnia ya uwana-habari wanataka hatua zichukuliwe dhidi ya watu waliomteka nyara mhariri tajika Macharia Gaitho leo asubuhi katika kituo cha polisi cha Karen. Gaitho ambaye alikuwa na mwanawe wakati wa tukio hilo alisema alielekea kwenye kituo cha polisi cha karen kutafuta hifadhi aliopogundua kuna gari lililokuwa likimfwata kutoka nyumbani kwake. Aidha, wana-habari waliandamana mijini Nakuru na Thika kufuatia shambulizi dhidi ya mwana-habari wa kampuni ya Mediamax anayhudumu Nakuru. Na jinsi anavyotuarifu Giverson Maina, halmashauri huru ya kutathmini utendakazi wa polisi imesema inachunguza matukio hayo na itawaadhibu waliohusika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mhariri tajika Gaitho atekwa nyara, mwanahabari apigwa risasi Nakuru
- 17 Jul 2025 - A High Court sitting in Busia has allowed petitioners to seek urgent conservatory orders staying the decision of the Kenya Sugar Board (KSB) to temporarily close milling operations in the lower and upper western catchment areas for three months.
- 17 Jul 2025 - A High Court sitting in Busia has allowed petitioners to seek urgent conservatory orders staying the decision of the Kenya Sugar Board (KSB) to temporarily close milling operations in the lower and upper western catchment areas for three months.
- 17 Jul 2025 - A new report has revealed that 7.4 percent of children in Kenya are enrolling in Grade 1 without having passed through Early Childhood Development Education (ECDE), highlighting persistent gaps in foundational learning access across the country.
- - Polytechnic students implore Interior ministry to reinstate Mawego police station
- 17 Jul 2025 - The security guard was shot on duty.
- 17 Jul 2025 - The victim, identified as Kennedy Okeyo, died while receiving treatment at Jaramogi Oginga Odinga Teaching and Referral Hospital, where he had been transferred from a facility in Ahero following the assault.
- 17 Jul 2025 - The party launch has been suspended several times.
- 17 Jul 2025 - Boda bodas have been a quick transport option for Kenyans.
- 17 Jul 2025 - The loans and bursaries will target specific students.
- 17 Jul 2025 - The IEBC has so far conducted three General Elections since its creation.