- 164 views
Huku joto la kisiasa likiendelea kupanda Mlima Kenya kuhusu uwezekano wa kuwasilishwa kwa mswada wa kumwondoa naibu wa Rais Rigathi Gachagua madarakani tayari viongozi wameonyesha dalili za kurejea kwa muungano wa jamii za Agikuyu, Akamba,Ameru na Embu almaarufu jamii ya GEMA. Wakizungumza katika kikao cha pamoja wahubiri wa muungano wa wahubiri kutoka Mlima Kenya na eneo la ukambani kwa jina BELUAH - Clergy United Association wameeleza kwamba tayari mchakato wa kuleta pamoja muungano wa jamii hizo ambao ulisambaratika miaka ya mbeleni. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wahubiri kutoka GEMA waeleza wanamchakato wa kuleta pamoja muungano wa jamii zilizosambarika
- 23 Jul 2025 - The President said the listing of the State corporation is necessary to eliminate inefficiencies and raise the standards of governance.
- 23 Jul 2025 - President William Ruto has pushed back against mounting calls for his resignation through growing ‘Ruto Must Go’ chants in street protests and social media posts.
- 23 Jul 2025 - Murkomen, who spoke amid mounting criticism over the government’s decision to charge violent protesters with terrorism, said the LSK was “on the wrong side of history” by focusing on defending suspects instead of standing with business owners and…
- 23 Jul 2025 - In a statement released on Wednesday, Nyutu said she learned of her dismissal through the media following NCIC’s press release on July 22, 2025.
- 23 Jul 2025 - Eldoret High Court has postponed for the fourth time the murder trial of athlete Agnes Tirop after Ibrahim Rotich, prime suspect in her murder failed to turn up in court.
- 23 Jul 2025 - The incident has left over 46 workers stranded and jobless.
- 23 Jul 2025 - The virus broke out in Kenya in June 2025.
- 23 Jul 2025 - The audit reported Ksh 183 billion missing school funds.
- 23 Jul 2025 - Defence team applies for termination of the case after President Ruto's daughter fails to appear in court.
- 23 Jul 2025 - The seats of Rong’e Ward MCA Dorcas Mlughu and her Mboghonyi counterpart Halifa Taraya declared vacant.