- 5 views
Wizara ya elimu inakadiria kufanyia marekebisho mfumo wa elimu ya umilisi ili kujumuisha masomo kuhusu masuala ya baharini katika juhudi za kutwaa fursa za ajira zinazoibuka katika sekta ya uchumi wa baharini. Hatua hiyo inalenga kuziba mianya iliyoko katika mfumo huo wa elimu na kuuwianisha na mahitaji katika sekta ya baharini. Waziri wa elimu Julius Migos amesema ipo haja ya kuimarisha ushirikiano baina ya wadau ili kubuni mfumo wa elimu unaotilia maanani sekta zote za kiuchumi. Uchumi wa baharini hushirikisha sekta mbalimbali zikiwemo uvuvi, kilimo cha samaki, utalii wa pwani, uchukuzi wa baharini miongoni mwa nyingine.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mafunzo ya uanabaharia kujumuishwa
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - The Orange Democratic Movement (ODM) has slammed media reports which claimed that the party leader, Raila Odinga, is losing popularity in his backyard of Nyanza due to the events that unfolded during the burial of late teacher Albert Ojwang' at Kakoth…
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission (JSC) has strongly condemned what it terms as excessive use of force by police officers during the re-arrest of youth politician Peter Kinyanjui, alias Kawanjiru within the Ruiru Law Courts, saying the actions undermine…
- 5 Jul 2025 - Heads of schools express safety concerns for students and staff.
- 5 Jul 2025 - Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has officially become the new leader of the Umoja na Maendeleo Party (UMP). This announcement was made public by the Office of the Registrar of Political Parties (ORPP) through a gazette notice, which confirmed she is…
- 5 Jul 2025 - Former Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi has chided politicians for misusing the term honourable. Speaking on Saturday, July 5, 2025, during the burial of Gachagua’s aunt in Nyeri County, the former AG stated that the honorary title should…
- 5 Jul 2025 - Chinese firm tasked with managing the road, has filed at least 65 cases to recover the money it spends on repairing damage from accidents.