- 13 views
Chama Cha Watumishi wa Umma (UKCS) kimesitisha mgomo wake uliopangwa baada ya serikali kutekeleza kikamilifu awamu ya pili ya Makubaliano ya Pamoja kuhusu nyongeza ya mishahara. Waziri wa Utumishi wa Umma na Maendeleo Justin Muturi,amesema itaigharimu serikali shilingi bilioni 1.5 kutekeleza nyongeza hiyo. Katibu mkuu wa chama hicho Tom Odege,alisema malimbikizi ya nyongeza ya mishahara ya kuanzia mwezi Julai mwaka huu yataboresha utoaji wa huduma. Wakati uo huo, waziri la leba Dkt Alfred Mutua ametangaza nyongeza ya asilimia sita ya kima cha chini cha mshahara kwa wafanyikazi wa huu nchini kufikia Oktoba mwaka huu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali kuwalipa watumishi wa umma nyongeza ya msahahara
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist