- 7,826 views
Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gilbert Masengeli ameomba msamaha kwa mahakama kwa kukosa kuhudhuria vikao vya mahakama kuelezea waliko watu watatu waliodaiwa kutekwa nyara na polisi katika eneo la Kitengela. Masengeli ameapa kuwa atahudhuria vikao vya mahakama na kutekeleza wajibu wake wa kuhakikisha sheria inafuatwa. Aidha ameelezea kuwa hakufanya kusudi kukataa kufika mahakamani bali alikuwa na majukumu ya kikazi yaliyomfanya kukosa kufika mahakamani. Aidha amesema kuwa anaheshimu mahakama na atawajibika. Haya yanajiri huku akikata rufaa kuhusu hukumu ya miezi sita aliyopewa na jaji Lawrence Mugambi.
Masengeli aomba mahakama msamaha asema hakukusudia kukaidi mahakama
- 30 Apr 2025 - Raila Odinga Studium in Homa Bay, which has been under rehabilitation for the last two months is set to be handed over to the County government of by May 15 to host the 2025 Madaraka Day celebrations.
- 30 Apr 2025 - The assistant chief of Kamunyu sub-location is accused of carrying out the acts on April 20 in the same village where he was born, raised, and now works as a government representative.
- 30 Apr 2025 - Mandera North MP Bashir Abdullahi has been on the receiving end after making unwelcome remarks over the exposé released by the BBC on the faces behind the deaths of Kenyans at Parliament buildings during the 2024 anti-government protests.
- 30 Apr 2025 - North Korea confirmed for the first time Monday that it had deployed troops to Russia, with state news agency KCNA reporting Pyongyang's soldiers helped Moscow reclaim territory under Ukrainian control in the Russian border region of Kursk.
- 30 Apr 2025 - Belgium is open to deeper involvement in Democratic Republic of Congo's minerals sector, its foreign minister said on a visit to the former Belgian colony, which is seeking to diversify its investment partners.
- 30 Apr 2025 - Building fires are common in India due to a lack of firefighting equipment and a routine disregard for safety regulations.
- 30 Apr 2025 - Nakuru County now seeks control of War Memorial Hospital
- 30 Apr 2025 - "The problem of trademark counterfeiting continues on a global scale," the US government said.
- 30 Apr 2025 - Justice on hold: IPOA slammed for laxity in Gen Z protest probes
- 30 Apr 2025 - How KRA loses billions to falsified mitumba invoices