- 21 views
Ni afueni kwa maelfu ya wakazi wa Nakuru na kaunti jirani huku mipango ya kuifungua hospitali ya war memorial jijini Nakuru ikianza rasmi baada ya huduma kusitishwa kwa takriban mwaka mmoja. hii ni baada ya korti kutoa mwelekeo tarehe mosi mwezi huu. Hata hivyo korti imeelekeza hospitali itaendeshwa na taasisi tatu zikiwemo usimamizi wake wa awali, serikali ya kaunti ya nakuru na mteuliwa mmoja kutoka kwa serikali ya kitaifa.
Mipango ya kuifungua hospitali ya War Memorial jijini Nakuru yaanza rasmi
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara, who was arrested on Thursday, is facing charges of incitement with intent to provoke a breach of the peace in connection with the Saba Saba protests.
- 18 Jul 2025 - A multi-agency team led by officers from the Obama Police Station in Kayole carried out a night raid on Thursday targeting illicit alcohol brewing dens in the Mwengenye area, near the Dandora Bridge along the Nairobi River.
- 18 Jul 2025 - Members of Parliament have raised concerns over delayed justice within the Judicial system, calling on judges to expedite case processing.
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara has been presented at the Milimani Law Courts following her arrest on Friday.
- 18 Jul 2025 - According to DCI, the seized drugs have an estimated street value of Sh6.7 million.
- 18 Jul 2025 - The article gained significant traction globally, prompting the government's response.
- 18 Jul 2025 - Investigations are ongoing to identify and apprehend the individuals involved in the brewing operation.
- 18 Jul 2025 - Many social media users criticised the ban as sexist, invasive, and paternalistic.
- 18 Jul 2025 - The Insurance Regulatory Authority (IRA) has announced the cancellation of operational licences for twenty insurance brokers. In a Gazette Notice published on Friday, 18th July 2025, the Authority stated: “The Insurance Regulatory Authority (IRA) hereby…
- 18 Jul 2025 - The authority stated that the firms have been deregistered in accordance with the law.