- 446 views
Wanakijiji wa lokesheni ya Sosiana maeneo ya Transmara South wanazidi kulilia serikali kuwatumia Chifu mpya baada ya eneo hilo kuratibiwa kwenye gazeti rasmi ya serikali kaka lokesheni miaka minane iliyopita. Wakizungumza jumapili katika eneo la Sosiana, Wenyeji hao wanasema hatua ya kutokuwa na chifu imelemaza huduma kadhaa za serikali ikiwemo ukosefu wa kupata vitambulisho mapema, kusajiliwa kwa wakongwe miongoni mwa huduma zingine za serikali.Aidha wanasema sehemu hiyo iliyoko Transmara Kusini ni pana mno na huenda wakazi wakazidi kuhangaika zaidi licha ya mahojiano ya kupata chifu mpya kufanyika miaka kadhaa iliyopita.
Wakazi wa lokesheni ya Sosiana wanadai chifu
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script