- 187 views
Wafugaji wanaoishi kwenye mpaka wa Kaunti za Narok na Nakuru wamehimizwa kuishi kwa amani na kutatua mizozo ya kila mara kupitia asasi za serikali na wazee wa mitaa. Akizungumza baada ya uzinduzi rasmi wa mnada wa Ole Tipis katika kituo cha biashara cha Mwisho-lami Narok Kaskazini, Kamishna wa Narok Kipkech Lotiatia, alisema kuwa mkutano mkubwa umeandaliwa ili kuwahamasisha wakazi kuhusu umihimu wa amani. Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu amesema kuwa malisho ya mifugo na maji imesababisha migogoro ya mara kwa mara.
Wafugaji wa mpaka wa Narok - Nakuru wahimiza amani
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script