2024 Mwaka mkubwa wa uchaguzi Duniani

  • | BBC Swahili
    3,270 views
    Mwaka 2024 utakuwa mwaka mkubwa wa uchaguzi kwasababu baadhi ya nchi kubwa na zenye nguvu zitafanya uchaguzi. Tunazungumzia takriban nchi 80 zinazowakilisha zaidi ya nusu ya idadi ya watu wote duniani. #bbcswahili #mwakampya2024 #uchaguzi2024 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw