Skip to main content
Skip to main content

Afisa mkuu wa mamlaka ya afya ya jamii SHA , Dkt. Mercy Mwangangi ahojiwa na kamati ya uwekezaji

  • | Citizen TV
    294 views
    Duration: 3:31
    Afisa mkuu wa mamlaka ya afya ya jamii - SHA - , Dkt. Mercy Mwangangi amesema kuwa mamlaka hiyo ilirithi deni la shilingi bilioni 33 kutoka kwa NHIF. Akihojiwa na kamati ya uwekezaji , mwangangi amesema kuwa bado deni hilo linathibitishwa kabla ya malipo kutolewa. aidha mwenyekiti wa kamati hiyo Caleb Amisi, ameibua masuali kuhusu uhamisho wa shilingi bilioni 15 za NHIF kwa SHA,ambazo zimetajwa na mhasibu mkuu wa serikali kama kinyume na sheria.