Skip to main content
Skip to main content

Ajali Nakuru: Watu 11 wafariki, familia zaendelea kuomboleza

  • | Citizen TV
    1,533 views
    Duration: 2:33
    Siku moja baada ya ajali ya eneo la Kariandusi Gilgil kaunti ya nakuru iliyowaua watu 10 papo hapo na wengine watano kujeruhiwa, familia zimeendelea kutambua miili za jamaa zao katika makafani ya hospitali ya Gilgil. Aidha, baadhi ya familia za waliouawa zimeanza maandalizi ya mazishi.