- 34 views
Serikali imefutilia mbali leseni za mashirika 20 ya uajiri watu kwa madai ya kuwalaghai wakenya wakiwaahidia nafasi za kazi zisizokuwepo. Akizungumza alipofika mbele ya kamati ya bunge la kitaifa kuhusu mashauri ya nchi za kigeni na maslahi ya wakenya walio ughaibuni, mkurugenzi mkuu wa halmashauri ya kitaifa ya masuala ya ajira Edith Okoki alisema baadhi ya kampuni zilizofungwa zilijaribu kujisajili upya kwa kutumia majina mapya lakini zikaripotiwa. Halmashauri hiyo, bila kutaja majina ya mashirika hayo, ilisema kuwa wanasiasa kadhaa walikuwa wakijaribu kulinda mashirika hayo yanayoendeleza shughuli za kilaghai.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ajira Ughaibuni I Mashirika 20 yapokonywa leseni kwa kuwalaghai Wakenya
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction