Skip to main content
Skip to main content

Akina mama 10 wagunduliwa na saratani ya mlango wa uzazi Samburu

  • | Citizen TV
    465 views
    Duration: 3:08
    Akina mama kumi waligunduliwa kuwa na saratani ya mlango wa uzazi ndani ya saa nne za zoezi la upimaji lililofanyika katika Kaunti ya Samburu. Takwimu hizo za kushtua zilibainika katika kambi ya matibabu eneo hilo ambapo wakazi walifika kufanyiwa vipimo vya saratani. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Bonface Barasa, wakazi wametakiwa kujitokeza mapema kupimwa ili kujua hali yao na kufanikisha matibabu ya ugonjwa huo sugu.