Skip to main content
Skip to main content

Arnold Ethan, raia wa Uganda, azuiliwa siku 30 kwa kuiba mtoto wa miaka 3

  • | Citizen TV
    3,336 views
    Duration: 2:08
    Maafisa wa polisi mjini Malindi wanamzuilia mwanaume mmoja wa miaka 29 aliyenaswa na maafisa wa ujasusi akivuka mpaka wa Kenya eneo la Lunga Lunga kuelekea Tanzania na mtoto wa miaka 3 ambaye amekuwa akitafutwa na familia yake.