- 24,455 viewsDuration: 2:09Askofu wa kanisa katholiki jimbo la Mombasa Martin Kivuva amesema kanisa halifai kulaumiwa kuhusu siasa na matokeo ya uchaguzi nchini akisema kuwa ufisadi na suala la kuhongwa kwa wapiga kura ndiyo masuala yanapaswa kushughulikiwa kikamilifu.