- 2,616 viewsDuration: 3:11Mwanamume mmoja kutoka kijiji cha imabusi eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega amelazwa katika hospitali ya shibwe chini ya ulinzi mkali baada ya kudaiwa kumuua mwanawe na kuwajeruhi wengine vibaya. Mshukiwa huyo Nathan Shimenga baadaye alishambuliwa na wanakijiji kufuatia mauaji hayo yanayosemekana kutokana na mzozo wa kinyumbani na mkewe.