Baba wa mtoto aliyeuawa na shambulizi la bomu aeleza kilio chake
Mtu na mkewe ambao wamepoteza mtoto baada ya bomu lililopigwa na waasi wa M23 kulipuka na kumuua, eneo la milima ya Sake. Jina la baba wa marehemu ni Muhindo Balume Prince akizungumza na mwandishi wa VOA.
Wiki iliyopita Meja Jenerali Peter Cirimwami ambaye pia ni Gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo siku ya Alhamisi ametembelea maeneo ambayo yanashambuliwa na waasi wa M23. Pia alifanya tathmini kwenye maeneo ya makazi ya raia yenye idadi kubwa ya watu.
Makazi hayo yako mjini karibu na mji wa Goma na eneo la Sake kiasi cha kilometa 25 magharibi mwa Goma.
Gavana Cirimwani alifuatana na Kamati ya Usalama ya jimbo la Kivu Kaskazini. Meja Jenerali Cirimwami baadaye alitembelea kambi mbalimbali za wakimbizi zilizopo maeneo ambapo yanaendelea kukumbwa na mapigano.
Ripoti hii maalum imeandaliwa na mwandishi wetu wa Goma Austere Malivika.
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #milimayasake #austeremalivika
27 Apr 2024
- The depreciation of the shilling has posed a major challenge.
27 Apr 2024
- He revealed what motorists should expect on the roads in the coming week.
27 Apr 2024
- In recent weeks, Sakaja has come under intense criticism from a section of UDA leaders.
27 Apr 2024
- Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
27 Apr 2024
- Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
27 Apr 2024
- Donald Trump's lawyer sought on Friday to undermine the credibility of a former tabloid publisher who testified at the former president's criminal trial about his paper's efforts to bury news that could have damaged Trump's 2016 White House bid.
27 Apr 2024
- The depreciation of the shilling has posed a major challenge.
27 Apr 2024
- Peter recently been firing salvos at President Ruto’s administration.
27 Apr 2024
- Ukraine warned Friday that Moscow was ramping up attacks on railways in a bid to disrupt military supplies ahead of a fresh Russian offensive while Kyiv waits for new US weapon deliveries.
27 Apr 2024
- Red Cross stated that it has already provided, 94 families in the Majengo area with essential non-food items, including kitchen sets, mats, and water jerricans, but more aid is needed.
27 Apr 2024
- King Charles will resume public engagements next week after making encouraging progress in his cancer treatment, Buckingham Palace has said.
27 Apr 2024
- Nancy Pelosi, the former Speaker of the US House of Representatives, has urged protesters on college campuses to protest against Hamas’ behaviour as well as Israel’s conduct of the Gaza war. Hundreds of people have been arrested on dozens of campuses…
27 Apr 2024
- Magondu who was a pilot will be buried at his Karemeno home in Kieni, Nyeri