- 60 views
Serikali imezindua bajeti ya shilingi trilioni 3.7, sekta ya elimu ikipokea mgao mkubwa zaidi. Shilingi bilioni 628.8 zilizotengewa sekta ya elimu zitatumiwa kuajiri walimu elfu 20 wa sekondari msingi na kujenga madarasa zaidi. Sekta ya miundomsingi imetengewa shilingi bilioni 250 ambapo shilingi bilioni 1.1 zitatumiwa kununua mabasi ya kisasa ya uchukuzi wa abiria. Waziri wa fedha Prof. Njuguna Ndung’u amesema bajeti ya mwaka huu inatilia maanani sekta tano muhimu katika ajenda ya makuzi ya uchumi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #budget2023
Bajeti ya kwanza ya serikali ya Kenya Kwanza ya shilingi trilioni 3.7 yawasilishwa bungeni
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2024 - Florence Akinyi, a resident, said they encountered snakes of different types and sizes on a daily basis.
- 1 May 2024 - The Widows Protection Bill is set to be tabled in Siaya County Assembly on May 7
- 1 May 2024 - Among the injured are 10 men, nine women and two children who were saved by the swift action of responders.
- 1 May 2024 - In Kenya, Labour Day is a public holiday that recognises and celebrates the contribution of workers to the country's economy.
- 1 May 2024 - Forecast shows April marked peak of long rains season in parts of the country except Coastal and Western regions.
- 1 May 2024 - In Kenya, Labour Day is a public holiday that recognises and celebrates the contribution of workers to the country's economy.
- 1 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Labour Day On May 1, […]
- 1 May 2024 - The heavy rains have also caused destruction to property, including houses, crops and road infrastructure in various parts of the country.
- 1 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has appealed to residents in parts of Murang'a County, and indeed Kenyans in risky areas to move to safer grounds as heavy rains continue to wreak havoc.
- 1 May 2024 - Reading Time: < 1 minute The Kenya Red Cross has started moving families in Kitengela following floods which have affected the town. In a statement, […]