Skip to main content
Skip to main content

Baraza la miji Afrika

  • | Citizen TV
    349 views
    Duration: 1:39
    Rais William Ruto amesema kuwa ujenzi wa Nyumba za bei nafuu si nyumba tu; bali unahusu heshima ya watu, kazi na biashara, miongoni mwa mambo mengine mengi zaidi. Rais alikuwa akizungumza kwenye kikao cha baraza la miji ya afrika kilichofanyika katika hoteli moja hapa jijini Nairobi.