- 786 viewsLeo katika Waridi wa BBC ,kimemulika maisha na mchango wa Bi. Khadija Mwanamboka, mwanamitindo mashuhuri kutoka Tanzania, ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya tasnia ya mitindo. Kwa zaidi ya miaka 25, Khadija amejitokeza kama mfano wa kuigwa, si tu kwa ubunifu wake bali pia kwa kazi yake ya kuwajengea uwezo wanawake nchini Tanzania. Ametumia majukwaa ya mitindo kama chombo cha kuwainua wanawake kiuchumi na kijamii, kupitia miradi na mafunzo mbalimbali. Katika juhudi za Tanzania kupata utambulisho wake wa kitaifa kupitia vazi rasmi, Bi. Khadija ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati maalum ya kuandaa vazi la taifa. Katika mahojiano na mwandishi wa BBC @elizabethkazibure amefichua baadhi ya siri na vigezo vilivyozingatiwa katika kubuni vazi hilo, vikiwemo rangi za bendera ya Tanzania, na usasa wa Mtanzania. - - 📹@frankmavura @enamuhisa #bbcswahili #mitindo #fashion #khadijamwanamboka #vazilataifa #watoto #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
BBC News Swahili
- - Tribe47 || DJ Shema on the beat ››
- 14 Jun 2025 - Airlines steered clear of much of the Middle East on Friday after Israeli attacks on Iranian sites forced carriers to cancel or divert thousands of flights in the latest upheaval to travel in the region.
- 14 Jun 2025 - Israel targeted leading members of Iran's armed forces on Friday during its unprecedented onslaught hitting military and nuclear targets across the country.
- 14 Jun 2025 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has today led two economic empowerment events which have cumulatively raised Ksh.20 million, with the President and the DP contributing half the amount.
- 14 Jun 2025 - Assets worth over Ksh.428 million linked to former Migori Governor Okoth Obado and his associates are set to be auctioned on the 23rd of this month.
- 14 Jun 2025 - Business owners in Nairobi's Central Business District are reeling from the aftermath of Thursday’s protests and counting heavy losses following the violent demonstrations that rocked the city.
- » CS Ruku leads relief mission in Kibra, commits to full implementation of Executive Order on Disaster Response13 Jun 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has reaffirmed the Government’s commitment to proactive disaster preparedness and response, following the recent fire tragedy in Mukungu Village, Kibra and other areas.
- 13 Jun 2025 - The winds are projected to intensify between Saturday and Tuesday
- 13 Jun 2025 - The election solidifies Kenya’s commitment to shaping the future of tourism in Africa, beyond
- 13 Jun 2025 - Iran Supreme Leader vows to 'inflict heavy blows'
- 13 Jun 2025 - NAIROBI, Kenya, Jun 13 – A section of grassroots leaders want president William Ruto to intervene and solve a standoff between Isiolo Members of County Assembly and governor Abdi Guyo. They said the standoff is affecting service delivery at large. They…