Idara ya uhamiaji na huduma kwa raia imekanusha ripoti kwamba raia wa kigeni kutoka nchi jirani wanapewa vitambulisho vya kitaifa vya Kenya kwa njia isiyo halali. Katibu Belio Kipsang, akizungumza alipofika mbele ya kamati ya bunge kuhusu uhusiano wa kikanda, alisisitiza kwamba wageni wanapewa vitambulisho vya wageni huku wakimbizi wakipewa vitambulisho vya wakimbizi. Wabunge pia wamelezea wasiwasi kuhusu idadi kubwa ya vitambulisho ambavyo havijachukuliwa.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive