- 788 viewsDuration: 3:17Bima maalum ya Afya itakayowasimamia jumla ya maafisa 138,000 wa idara ya Polisi na familia zao imezinduliwa. Waziri wa Afya Aden Duale na mwenzake wa Usalama Kipchumba Murkomen waliohudhuria uzinduzi huo wamepuuza adai kuwa SHA itasambaratika hivi karibuni kama ilivyodaiwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua