Skip to main content
Skip to main content

Bunge la Ulaya wapitisha azimio lkuondoa mfuko wa ufadhili kwa Tanzania,

  • | BBC Swahili
    18,094 views
    Duration: 1:49
    Wajumbe wa Bunge la Ulaya wamepitisha azimio linalolitaka Tume ya Ulaya kuondoa pendekezo lake la mfuko wa ufadhili wa euro milioni 156 kwa Tanzania, wakitoa sababu za wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu na kudhoofika kwa demokrasia. #bbcswahili #tanzaniatiktok #bungelaulaya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw