- 74 views
Chama cha The Equatable Party (TEP) kimependekeza kushukishwa kwa ushuru unaotozwa wafanyabiashara ili kutoa nafasi kwa wawekezaji wengi na biashara kunawiri. akizungumza wakati wa kuzindua usajili wa wananchama katika kaunti ya Kwale, kinara wa chama hicho Gilbert Shanga amesema hatua hiyo itawezesha biashara nyingi kutoa nafasi zaidi za ajira kwa wakenya. Aidha chama hicho kimetaka mgao wa basari kuondolewa kutoka kwa viongozi wa kisiasa na mgao huo kupelekwa moja kwa moja kwa shule zote za umma kulingana na mahitaji ya shule hizo.
Chama cha 'Equatable Party' chataka ushuru wa haki kwenye bajeti
- 22 Jul 2025 - Stephen Munyakho, the Kenyan man who faced execution in Saudi Arabia, has been freed and is set to travel back home, Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing’oei announced on Tuesday.
- » MP Mukunji sues IG Kanja, DCI Amin, DPP Ingonga for misuse of Anti-Terror law to crush gov’t critics22 Jul 2025 - Manyatta Member of Parliament Gitonga Mukunji has filed a petition against the Inspector General of Police Kanja, the Director of Criminal Investigations (DCI) Amin, and the Director of Public Prosecutions (DPP) Ingonga, over his arrest during the Saba…
- 22 Jul 2025 - The Russian Federation has in recent times been keen on enhancing its foreign policy in Africa, which involves a multifaceted approach that includes, among others, economic partnerships, especially in agriculture and food security.
- 22 Jul 2025 - Baza ("Base") specialises in criminal news, has more than 1.5 million subscribers on Telegram, and is known to have good sources within law enforcement agencies.
- 22 Jul 2025 - Neither model scored full marks -- unlike five young people at the International Mathematical Olympiad (IMO), a prestigious annual competition where participants must be under 20 years old.
- 22 Jul 2025 - Nakuru Town East Police Commander Samson Adanje confirmed the incident and identified the man as Denis Michael Nthenge.
- 22 Jul 2025 - KeNHA has not provided any details for the cancellation of the road expansion project
- 22 Jul 2025 - Munyakho had spent more than a decade in Saudi custody after being convicted over a fatal altercation with a colleague in 2011.
- 22 Jul 2025 - The sale confirms the company's exit from the Kenyan market.
- 22 Jul 2025 - The MP had been charged with terrorism.