Skip to main content
Skip to main content

Chama cha KUDHEIHA chasitisha mgomo wa wanachama wake katika vyuo vikuu

  • | KBC Video
    17 views
    Duration: 2:25
    Chama cha wafanyakazi wa nyumbani, hoteli na taasisi za elimu, KUDHEIHA, kimesimamisha kwa muda mgomo wa wanachama wake wanaohudumu katika vyuo vikuu vya umma ili kutoa nafasi ya mashauriano. Wizara ya elimu imeahidi kulipa malimbikizi ya mishahara inayodaiwa na wafanyakazi wa vyuo vikuu wanaogoma ya shilingi bilioni 2.73 pamoja na mishahara ya mwezi huu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive