- 295 viewsDuration: 2:12Chama cha walimu KUPPET eneobunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma kimetishia kuitisha mgomo muhula wa pili iwapo tsc na wizara ya afya zitaendelea kushindwa kushughulikia matatizo ya bima ya sha pamoja na kuajiri walimu wapya. Kulingana na viongozi hao, walimu wanapitia changamoto nyingi ikiwemo kutafuta huduma za matibabu.