Chama cha mawakili humu nchini LSK kimewasilisha ombi mahakamani kutaka kubatilishwa kwa maagizo ya muda yanayozuia mashirika ya umma kuwakilishwa na mawakili wa kibinafsi. Akizungumza na wanahabari jijini Nairobi leo, rais wa chama cha LSK alitaja maagizo hayo kuwa kinyume cha katiba, yenye ubaguzi na tishio kwa upatikanaji wa haki.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive