- 165 views
Chama cha madaktari nchini KMA kimeshutumu ripoti za wizi wa fedha katika malipo ya bima ya matibabu nchini ya NHIF. Kwenye taarifa, katibu mkuu wa KMA daktari Diana Marion amesema kuwa wameghadhabishwa na ripoti za baadhi ya hospitali kushirikiana na NHIF kuwaibia wakenya. Chama hiki sasa kikisema kitashirikiana na bodi ya madaktari na wahudumu wa afya KMPDC kuendesha uchunguzi, na madaktari watakaopatikana na hatia watachukuliwa hatua. Taarifa hii aidha imetaka ulinzi kutolewa kwa watu wanaotoa ripoti za ufisadi katika sekta ya afya.
Chama cha madaktari nchini KMA chashutumu wizi wa fedha katika NHIF
- 6 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
- 6 Aug 2025 - In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
- - Six Busia County officials arrested over Ksh.1.4 billion tender fraud
- 6 Aug 2025 - When the giant landfill collapsed in Uganda's capital Kampala a year ago, Zamhall Nansamba thought she was hearing an aeroplane taking off.
- 6 Aug 2025 - The new majority leader was nominated on August 6, 2025.
- 6 Aug 2025 - The deputy had been relatively quiet until now.
- 6 Aug 2025 - Wale denies knowledge or connection with jailed Ghanaian, saying he is a "third-party owner"
- 6 Aug 2025 - The last time the county boss was seen in public was on June 23, when he appeared before a Senate committee
- 6 Aug 2025 - MPs have threatened to impeach the Treasury CS.
- 6 Aug 2025 - The incident reportedly took place in 2020.