Skip to main content
Skip to main content

Changamoto za elimu Laikipia zawalazimisha wanafunzi kusoma chini ya mti bila vifaa

  • | Citizen TV
    361 views
    Duration: 3:08
    Katika eneo la Laikipia Kaskazini, elimu imegeuka kuwa mapambano ya kila siku dhidi ya hali ya hewa, njaa, kutelekezwa na ukosefu wa usalama. Katika shule ya chekechea cha Namunyak, miti imekuwa madarasa, vitabu ni vya ardhini na usalama sio wenye uhakika. Watoto wenye ari ya kupata elimu wanalazimika kuvumilia hali ngumu ya hewa, huku wazazi wakihofia usalama wao.