Skip to main content
Skip to main content

Chatu aelea kwenye maji ya mafuriko

  • | BBC Swahili
    7,529 views
    Duration: 21s
    Chatu mkubwa alionekana akisombwa na maji ya mafuriko baada ya siku kadhaa za mvua kubwa katika eneo la Valsad, Gujarat, India. Kuonekana kwa chatu huyo kulizua hofu miongoni mwa wakazi. Maeneo mengi yalifunikwa na maji baada ya mafuriko hayo na kusababisha vifo vya watu wasiopungua wanne. #bbcswahili #india #haliyahewa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw