Skip to main content
Skip to main content

Cheruiyot 'wheelchair' baada ya KBC kuangazia masaibu yake

  • | KBC Video
    210 views
    Duration: 2:55
    Vincent Cheruiyot,mwanafunzi wa umri wa miaka 15 aliye nma mahitaji maalum aliyekuwa akiomba kifaa cha kumsaidia kutembea sasa ana sababu ya kutabasamu .Baada ya shirika la utagazaji nchini KBC kuangazia tatizo lake mwanzoni mwa mwezi juni,Vincent,sasa amenufaika na viti viwili vya magurudumu kimoja cha kutumia nyubani na kingine cha kutumia shuleni.Viti hivyo vya magurudumu sasa vimemwezesha kuondoka mahali pamoja hadi pengine na kurejesha ndoto yake ya kurejea shuleni.Hapa ni historia kumhusu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive