Christine Chongwo mhandisi mkuu wa duka la vitabu linaloelea

  • | BBC Swahili
    488 views
    Kutana na mhandisi Christine Chongwo ambaye alikuja kama mhandisi mkuu wa meli ya MV Lagos Hope, duka kubwa la vitabu duniani linaloelea ilipotia nanga mjini Mombasa mapema mwaka huu na kugonga vichwa vya habari. Kutoka katika maeneo duni na darasa lililozungushiwa ukuta katika Bonde la Kerio nchini Kenya hadi maktaba kubwa zaidi duniani inayoelea, safari yake ni ya kutia moyo. #bbcswahili #kenya #mvlagoshope Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw