Skip to main content
Skip to main content

Chui aliyegongwa na gari amshambulia mmoja wa waokoaji India

  • | BBC Swahili
    74,909 views
    Duration: 28s
    Tazama chui huyu aliyegongwa na gari kwenye barabara kuu kusini-magharibi mwa India alivyomjeruhi mmoja wa watu waliokuwa katika operesheni ya kumwondoa eneo la ajali. Ingawa alikuwa ametulizwa kwa dawa ya usingizi kupitia sindano maalumu, chui alimshambulia mtu huyo walipokuwa wakijaribu kumpakia kwenye lori. Hata hivyo, chui na mfanyakazi aliyejeruhiwa wote wako katika hali nzuri, huku maafisa wakisema kwamba mnyama huyo huenda akapelekwa kwenye kituo cha uokoaji kwa matunzo zaidi. #bbcswahili #india #wanyama Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw